LARDEO YATAMBULISHA MRADI WA MTOTO KWANZA KATAVI.

 


Shirika lisilo la kiserikali la Lake Rukwa Development Organization #Lardeo limetamburisha mradi wa #MtotoKwanza wa mwaka mmoja wenye thamani ya Mil 30 Mkoa wa Katavi.


Mkurugenzi Mtendaji wa shirika hilo Filbert Chundu ameeleza kuwa mradi huo utakwenda kuwasaidia watoto wote.




Comments

Popular posts from this blog

LARDEO YAKABIDHIWA CHETI CHA KUTAMBUA MCHANGO WAKE